My website
Call: +255 767 493 683/ +255 710 583 683/ +255 762 288 289 Email: bwihas.college@gmail.com

BWIMA INSTITUTE OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES

KNOWLEDGE. SKILLS. INTEGRITY

RECEIVE UPDATES FROM US

All News and Downloads

TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO 2023/2024

Uongozi wa Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi BWIMA (BWIHAS) kilichopo Jijini MWANZA, unatangaza nafasi za masomo kwa mwaka wa masomo 2023/2024 kwa kozi zifuatazo;

  1. Stashahada ya Utabibu (Ordinary Diploma in Clinical Medicine)
  2. Stashahada ya Famasia (Ordinary Diploma in Pharmaceutical Science)
  3. Stashahada ya Ustawi wa Jamii (Ordinary Diploma in Social Work)

Vigezo vya kujiunga kwa kila kozi ni kama ifuatavyo;

Stashahada ya Utabibu mwombaji anatakiwa kuwa amehitimu kidato cha nne na kufaulu angalau masomo manne yasiyo ya dini kwa angalau alama "D" yakiwemo masomo ya Fizikia, Kemia na Baiolojia.

Stashahada ya Famasia mwombaji anatakiwa kuwa amehitimu kidato cha nne na kufaulu angalau masomo manne yasiyo ya dini kwa angalau alama "D" yakiwemo masomo ya Kemia na Baiolojia.

Stashahada ya Ustawi wa Jamii mwombaji anatakiwa kuwa amehitimu kidato cha nne na kufaulu angalau masomo yoyote manne yasiyo ya dini kwa angalau alama D.

Ada zetu ni nafuu na zinalipwa kwa awamu, pia tunatoa huduma ya bweni ambayo inapatikana ndani ya chuo na usafiri wa kwenda kwenye maeneo ya kujifunzia kwa vitendo BURE. Huduma ya chakula pia inapatikana Chuoni kwa gharama nafuu.

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia 0710583683/0767493683/0675988104.

Unaweza kutuma maombi kwa kupakua na kujaza fomu ya maombi au BOFYA HAPA KUTUMA MAOMBI MOJA KWA MOJA.

 

1. Download Filename-bwihas application form 2023_2024.pdf

Every Day News

TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO 2023/2024

Posted By Institute Administration : 2023-05-15

Document For Downloads

APPLICATION FORM FOR ACADEMIC YEAR 2023/2024

Posted By Institute Administration : 2023-05-12

BWIHAS ACADEMIC CALENDAR 2022/2023

Posted By Institute Administration : 2023-05-12